Karibu kwa Jarida la habari la DW.COM Tafadhali jisajili hapa.
Saudi Arabia inakhofia vita kati ya Israel na wanamgambo wa Hamas vilivyoongeza mivutano katika kanda ya Mashariki ya kati vinaweza kuvuruga hali ya kiuchumi duniani kote
Muhtasari wa matangazo ya mchana: Saudia Arabia yaonya juu ya vita vya Gaza kudumaza uchumi wakati mkutano wa kilele wa jukwaa la uchumi duniani ukifunguliwa mjini Riyadh. +++Kundi la wanamgambo la Hamas limetoa mkanda wa vidio unaoonyesha mateka wanaoshikiliwa. ++++Watu 76 wapoteza maisha katika mafuriko nchini Kenya.
Mvua za Masika zinazoendelea kunyesha katika nchi za kanda ya Afrika Mashariki zasababisha vifo na adha kubwa huku Kenya ikitahadharisha mvua kubwa zaidi itanyesha ndani ya saa 24 zijazo